202. ALISHUKA KUTOKA MBINGUNI



Alishuka kutoka mbinguni,

Yesu Bwana wangu;

Kwangu akaziondoa dhambi,

Napendwa na Mungu.


    Sina budi kumpenda,

    Yesu Mwokozi,

    Sina budi kumpenda,

    Ndiye Mwokozi.


Sistahili kupata neema,

Neema yake mkuu;

Na badala yangu akateswa,

Kwa uovu wangu.


Yesu yu Mwema kuliko wote,

Hupenda kwa haki;

Nauona utukufu wake,

Na Mungu mbinguni.


Comments

Popular posts from this blog

193. KATIKA YESU SINA SHAKA

197. MUNGU ALIAHIDI