201. KWA MJI WA MWANGAZA



Kwa mji wa mwangaza

Hapana usiku;

Hautapita tena,

Hapana usiku.


    Mungu atayafuta

    Machozi na hasara;

    Hapo miaka itakoma

    Hapana usiku.


Jua halitakiwi

Hapana usiku;

Yesu ni nuru kweli,

Hapana usiku.


Kwa mji wa mbinguni

Hapana usiku;

Milele furahini,

Hapana usiku.

Comments

Popular posts from this blog

193. KATIKA YESU SINA SHAKA

197. MUNGU ALIAHIDI