199. MUNGU WANGU, NDIYE NAMWAMINI



Mungu wangu, ndiye namwamini,

Po pote nilipo duniani;

Lo lote lanijialo,

Baba yangu hunitunza humo.


    Namwamini Mungu hunipenda

    Katika dhiki ama mashaka;

    Matesoni hunilinda,

    Baba yangu hunitunza sana.


Mungu hulinda viumbe vyake,

Huviongoza njiani mwake;

Najua anikumbuka,

Baba yangu hunitunza sana.


Njia ijapokuwa gizani,

Kodnoo hawasahauliwi;

Mungu Mchunga aongoza

Baba yangu hunitunza sana.

Comments

Popular posts from this blog

193. KATIKA YESU SINA SHAKA

197. MUNGU ALIAHIDI