196. KUMJIA YESU MWOKOZI WANGU



Kumjia Yesu Mwokozi wangu,

Nina Raha, Nina Raha;

Nikiona shida haidhuru,

Ninayo Raha.


    Raha ya ajabu,

    Raha yake Mungu;

    Tangu mkombozi aliniokoa

    Nina Raha.


Amani kama bahari mpana,

Nina Raha, Nina Raha;

Napumzisha roho kwake Bwana,

Ninayo Raha.


Katika rohoni sina vita,

Nina Raha, Nina Raha;

Nimetakaswa, nimeokoka,

Ninayo Raha.

Comments

Popular posts from this blog

193. KATIKA YESU SINA SHAKA

197. MUNGU ALIAHIDI